1.) Having sex relieves headaches, every time you make love, it releases the tension in the veins of the brain.
2.) A lot of sex can clear the stuffy nose. Sex, is natural antihistamine. It helps to fight against asthma and spring allergies.
3.) Making love is a spectacular beauty treatment. Scientists have discovered that wen a woman has Sex, it produces a large amount of estrogen that gives shines and softness to hair.
4.) Sex is one of the safest sports. Make love often strengthens the muscles of male and female body. Its more enjoyable than swimming 20 laps in the pool and there is not need special shoes.
5.) Make love slowly, smoothly and in a relaxed way reduces the chances of suffering dermatitis, skin rashes and acne. The sweat produced cleanses the pores and make ur skin glow.
6.) Lovemaking can burn all the calories u have accumulated during the romantic dinner before bedtime.
7.) Sex is a divine remedy for depression. It relieves endorphin into the bloodstream, creating a state of euphoria and leaving women and men with the feeling of being unique.
8.) Sex is the tranquilizer and muscle relevant to a safer world. It is a thousand times more effective than Valium.
9.) Sexually active body released more pheromones.
10.) Kissing each day will keep u more time away from the dentist. Kissing is an art which makes the cleaner teeth, and saliva reduces the amount of acid that causes tooth decay. This prevention eliminates many problems in addition to offering a breath constantly renewed
Bibi harusi katika jimbo la Tennessee nchini Marekani ametiwa nguvuni baada ya polisi kusema kuwa alitoa bunduki kwenye gauni lake la harusi na kumtishia mumewe saa chache tu baada ya kufunga ndoa.
Kate Elizabeth Prichard, mwenye umri wamiaka 25, alikuwa bado amevalia gauni la harusi wakati alipokamatwa katika hoteli moja katika mji wa Murfreesboro.
Alidaiwa kuchukua bunduki aina ya pistol, na kuiweka kwenye kichwa cha mumewe na kufyatua.
Bunduki haikuwa na risasi ,lakini baadae alidaiwa kuijaza risasi na kufyatua angani, jambo lililowafanya waliokuwa wakishuhudia tukio hilo
Walioshuhudia tukio hilo waliandikisha taarifa kwa polisi ndipo polisi walipowasili eneo la tukio.
Walisema wawili hao walikuwa wakinywa pombe nje ya hoteli.
Sajenti polisi katika mji wa Murfreesboro Kyle Evans alisema kuwa maharusi hao wote wawili hawakushirikiana na mamlaka.
"Alivuta pistol kutoka kwenye gauni lake la harusi," Sajenti Evans aliviambia vyombo vya habari vya eneo hilo.
"akaielekeza kwenye kichwa cha mume wake na kufyatua.
" Maafisa walimfahamisha mumewe afahamu kwamba fungate imeisha na mkewe mpya anakwenda jela ." aliongeza Sajenti Evans
Sajenti Evans alisema kuwa bibi harusi alijaribu kuficha silaha bafuni katika hoteli walimokuwa.
Wakati Terry Gobanga, wakati huo akiitwa Terry Apudo alipotoweka katika harusi yake hakuna mtu aliyedhani kwamba alitekwa nyara ,kubakwa na kutuwa kandakando ya barabara akipigania uhai.
Lilikuwa janga la kwanza kati ya mawili kumkabili muhubiri huyo kijana .Lakini ni manusura.
Harusi iliopangwa ilitarajiwa kuwa harusi kubwa.
Nilikuwa muhubiri hivyobasi wanachama wote wa kanisa walitarajiwa kuhudhuria.
Mchumba wangu ,Harry na mimi tulikuwa na furaha tulikuwa tunafunga ndoa katika kanisa la All Saints Cathedral mjini Nairobi na nilikuwa nimekodisha rinda zuri sana la harusi.
Lakini usiku kabla ya ndoa yetu ,niligundua kwamba nina baadhi ya nguo za Harry .
Hakuweza kuja katika harusi bila tai kwa hivyo rafiki yangu mmoja ambaye alikuwa amekubali kubaki nami usiku wa kuamkia harusi alikubali kumpelekea mapema alfajiri.
Haki miliki ya pichaTERRY GOBANGAImage captionTerry Gobanga
Niliamka mapema na kumpeleka hadi katika kituo cha kupanda basi.
Nilipokuwa nikirudi nyumbani ,nilipita karibu na mtu mmoja ambaye alikuwa ameketi kati boneti ya gari na akanishika kutoka nyuma na kuniingiza katika viti vya nyuma vya gari hilo na kuondoka mahali hapo.
Yote haya yalifanyika katika chini ya sekunde moja .Nilifunguliwa mdomo na kuwekwa kipande cha nguo mdomoni.
Nilikuwa nikirusha mikono na miguu nikitaka kupiga kelele.Nilipofanikiwa kutoa kitambara hicho nilipiga kelele: Ni siku yangu ya harusi! hapo ndipo nilipopigwa ngumi .
Mmoja ya wanaume hao wakaniambia nishirikiane nao ama niuwawe.Wanaume hao walinibaka kwa zamu .
Nilihisi nitafariki ,lakini bado niliendelea kupigania uhai wangu, hivyobasi mtu mmoja alipotoa kitambara kilichokuwa mdomoni mwangu nilimuuma uume wake.
Alipiga kelele kwa uchungu na mmoja wao akanidunga kisu tumboni.
Baadaye walifungua mlango na kunitupa kando ya barabara huku gari likiendelea kwenda.Nilikuwa mbali na nyumbani ,nje ya jiji la Nairobi .
Ilikuwa zaidi ya saa sita baada ya kutekwa.Mtoto mmoja aliniona nikirushwa nje ya gari na akamweleza bibiye.
Watu walikuja mbio .Wakati maafisa wa polisi walipokuja walijaribu kuangalia iwapo bado ninapumua ,lakini hawakupata.
Wakifikiri nimefariki walinitia katika blanketi na kuanza kunipeleka katika chumba cha kuhifadhi maiti .
Lakini njiani nilikohowa. Polisi mmoja alisema: Bado hajafariki ,hivyobasi wakabadilisha njia ya kuelekea katika chumba cha kuhifadhi maiti na kunipelekea katika hospitali kuu ya serikali nchini Kenya.
Niliwasili nikiwa na mshangao mkubwa, nikizungumza mambo nisioelewa.Nilikuwa nusu uchi nikivuja damu huku sura yangu ikiwa na majeraha kutokana na kipigo nilichopata.
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionKanisa la All saints Cathedral Nairobi
Lakini kuna kitu kimoja kilichomshtua mwanamke aliyekuwa akisimamia matibabu ,kwa sababu aligundua mimi ni bibi harusi.
Kwa bahati kanisa la kwanza waliloulizia ni All Saints Cathedral jijini nairobi ambapo waliambiwa kwamba kulikuwa na harusi mwendo wa saa nne Asubuhi lakini bibi harusi hakuonekana.
Wakati nilipokuwa nikisubiriwa kuingia kanisani ,wazazi wangu walikuwa na wasiwasi.
Watu walitumwa kunitafuta .Kulikuwa na uvumi. Wengine walishangazwa. Je alibadili nia? Wengine walisema haiwezekani kwamba yeye alifanya hivyo.
Baada ya saa chache walilazimika kuondoa mapambo ili kutoa nafasi kwa sherehe ya pili.
Harry alikuwa amewekwa katika eneo moja ambapo alikuwa akisubiri.Wakati waliposikia kule nilikokuwa wazazi wangu waliwasili katika hospitali wakiwa na watu wote
.Harry alikuwa akibeba rinda langu la harusi. Vyombo vya habari vilikuwa vimeambiwa kuhusu kisanga hicho na pia viliwasili katika hoispitali.
Nilipelekwa katika hospitali nyengine ambapo nilipata haki yangu ya faragha.
Hapo ndipo madaktari waliponishona na kunipa habari mbaya. Jereha la kisu katika tumbo langu lilikuwa ndani ya kizazi changu.
Haki miliki ya pichaTERRY GOBANGAImage caption''Siku chache baadaye, wakati nilipoanza kupata fahamu niliweza kumuangalia katika macho yake''.
''Kwa hivyo hutaweza kushika mimba''.Nilipewa dawa ya kuzuia mimba pamoja na ile ya kuzuia virusi vya ukimwi.
Ubongo wangu ulikataa kukubali kile kilichotokea. Harry aliendelea kusema kuwa angependa kufunga ndoa nami.
''Nataka kumuuguza ili kuhakikisha kuwa anapata afya njema, katika nyumba yetu'',alisema.
Ukweli usemwe, sikuwa katika hali ya kuolewa ama kukataa kwa sababu akili yangu ilikuwa imejawa na nyuso za watu watatu walionibaka na kila kitu kilichotokea.
Siku chache baadaye, wakati nilipoanza kupata fahamu niliweza kumuangalia katika macho yake.
Niliendelea kusema pole. Nilihisi kana kwamba nilikuwa msaliti.
Watu wengine walisema kuwa ilikuwa tatizo langu kwa kuondoka nyumbani alfajiri. Iilkuwa uchungu mwingi sana lakini familia yangu na Harry walinisaidia.
Polisi walishindwa kuwakamata wabakaji. Nilienda katika gwaride la kuwatambua watu hao katika vituo vya polisi lakini sikufanikiwa na nilihisi uchungu kila wakati nilipoenda.
Haki miliki ya pichaTERRY GOBANGAImage captionMimi na Harry tulifanikiwa kufunga ndoa na tukaenda katika kusherehekea fungate yetu.
Mwishowe nilienda katika kituo cha polisi na kusema ''Wajua nini'': Sitawahi kurudi tena nataka kuachana na tatizo hilo.
Miezi mitatu baada ya shambulio hilo niliambiwa sikuwa na viini vya ukimwi na nikafurahia sana, lakini wakaniambia ni sharti nisubiri miezi mitatu baadaye nithibitishe.
Lakini mimi na Harry tayari tulikuwa tumeanza mipango ya harusi yetu ya pili.
Ijapokuwa nilikasirishwa na vyombo vya habari ,mtu mmoja alisoma habari yangu na kutaka kukutana nami.
Jina lake ni Vip Ogolla ambaye pia naye alikuwa manusura wa ubakaji.
Tulizungumza na aliniambia kwamba yeye na rafikize walitaka kunifanyia sherehe.''Jiachilie fanya chochote utakacho'',alisema.
Nilichagua keki ya aina yake .Keki ya ghali. Mbali na rinda ambalo lilikuwa nimekodisha sasa nilinunua na kuwa langu.
Mnamo mwezi Julai 2005, miezi saba baada ya mipango ya harusi yetu ya kwanza, mimi na Harry tulifanikiwa kufunga ndoa na tukaenda katika kusherehekea fungate yetu.
Image captionSiku 29 baada ya fungate yetu tulikuwa nyumbani wakati wa msimu wa baridi kali usiku mmoja.
Siku 29 baadaye tulikuwa nyumbani wakati wa msimu wa baridi kali usiku mmoja.
Harry aliamua kuwasha jiko la makaa na kulipeleka katika chumba chetu cha kulala.
Baada ya chakula cha jioni aliliondoa kwa sababu chumba chetu kilikuwa na joto.
Nilijiingiza chini ya shiti huku yeye akifunga mlango.Wakati alipokuja kitandani aliniambia anahisi kisunzi, lakini hatukufikiria sana kuhusu hilo.
Ilikuwa baridi sana na hatukuweza kulala hivyobasi nilichukua blanketi jingine.
Lakini Harry akasema hakuliona kwa sababu hakuwa na nguvu nyingi. Mimi nami sikusimama.
Tulihisi kwamba kuna kitu kibaya.Tulilala nakumbuka nikimuita, mara nyengine aliitikia mara nyengine hakuitika.
Nilijilazimisha kushuka kitandani ambapo nilitapika na kupata nguvu .Nilitambaa hadi katika simu.
Niliwaita majirani zangu nikawaambia kwamba kuna kitu kibaya mume wangu haitiki.
Alikuja haraka, lakini ikanichukua muda mrefu kutambaa hadi katika mlango wa mbele ili kumfungulia huku nikiendelea kupoteza fahamu.
Niliwaona watu wengi wakiingia, wakipiga kelele. Na nikapoteza fahamu kwa mara nyengine.
Niliamka hospitalini na kuuliza kule ambapo mume wangu yuko.
Waliniambia kwamba wanamtibu katika chumba chengine.
Nilisema: Mimi ni muhubiri nimepitia mengi katika maisha yangu, nataka muniambie ukweli.
Mtu mmoja ameshtakiwa na maafisa wa polisi nchini Australia baada ya kuvunja na kuingia katika nyumba moja kabla ya kunywa shampeni na kulala kitandani .
Polisi wanasema jamaa huyo wa miaka 36 alivunja na kuingia nyumbani humo mjini Esperence , magharibi mwa Australia siku ya Ijumaa.
Alilewa baada ya kunywa kinywaji hicho ,kulingana na maafisa.
Mwenye nyumba hiyo alirudi nyumbani na kumpata mwizi huyo amelala kitandani mwake.
''Alitoka nje na kuwapigia simu polisi ambao waliwasili na kumkamata mshtakiwa'', alisema sajenti Richard Moore kutoka polisi ya Esperence .
Mtu huyo alipelekwa hospitalini baada ya kupatikana amelewa chakari alisema sajenti Moore.
Please dont ignore.
A man had a knock on his door at night, he never wanted to open the door but due to generosity he decided to open and he saw an old man beggin him for him for him to stay at his house for that night, The man never wanted to let him in but lookin at the mans condition he later let him without knowing that the old man is agent of satan. As midnite reached, the old man then turned to a very huge snake and went to the mans bed cuddled him and was trying to bite the man but each time he tried it seems as he is biting at a stone, He tried swallowing the man but it wasnt possible for the man, He then angrily went away as a snake but on his way he was crushed by a trailer that had a break failure. Immediately its morning people gathered along the road and were watching at the big snake , the man came too and was watching ,then all of a sudden the big snake changed to a human being with his body parts shattered, The man looked and recognised that xame man that came to his house the previous nite. He then exclaimed and start giving God praises for what he has done for him, he later explained to other people around him and they were all amazed.
My brother my sister, so many bad tins are happening. Now my prayer for u is that what ever favour u did for sumbody will nt turn out to be evil thing against u and also 2017 shall never see our end rather we wil see the end of 2017 and many more years to come. If u have faith and believe Type amen
...Two guys raped a princess, and when they were caught
and sent to
the king, he ordered them to go and bring as many fruits as
they can to bail themselves. The first guy went and
returned with 15 mangoes.The king ordered his guards to
insert all the mangoes into his anus so he would feel the
same pain as the princess. The guards did as they were
ordered and the guy screamed and shouted in pain.After
sometime, he stopped screaming and shouting and started
laughing. The guards then became surprised and asked him
why he was laughing despite all the pains. The guy pointed
to the road and said,
LOOK AT MY FRIEND (ALASEJU)
HE IS BRINGING 30 WATERMELONS
ti e ti baje
.
I can see you are laughing ....something great will happen in ur life this new week that will make you laugh and give testimonies...lemme see you type CAPITAL AMEN make the devil fear...
#HABARI: Sabby Angel asema kati ya wanaume wote aliowahi kutoka nao kimapenzi hakuna hata mmoja aliyewahi kumfikisha kileleni...! ..
"To be honest and sincere Sijafaidi raha ya mapenzi mpaka huu umri niliofikia ..HAKUNA Mwanaume aliyewahinifikisha Kileleni. Naamini bado sijaona raha ya mapenzi and am really hoping to get to experience that soon or later" amesema Sabby ambaye mwaka jana alikiri kuwahi kutoka kimapenzi na Ali Kiba na kusema almanusura penzi lake limuue
Aidha Sabby hakusita kuonyesha hisia zake kwa Diamond Platnumz kwa kusema.... "I personally think Diamond anajua mapenzi, Sio kwa muonekano tu but kwa vitendo. How he treats his women is Dreamy. I totally like Diamond Platnumz he is the perfect example of a real Gentleman...plus rumour has it he is totally Good in Bed but I just Heard" alisisitiza Sabby mwenye asili ya kibantu, kiarabu na kizungu ..
Anyhow, Mojawapo ya films maarufu za Sabby Angel akiwa ameigiza na mastaa maarufu ni Siri ya Giningi akiwa na Gabo Zigamba, Hard Price akiwa na Ray Kigosi na Wolper , Nimekubali kuolewa akiwa na Dr.Cheni, Sio Riziki akiwa na Mzee Majuto, Dude na Tino Hisani Muya ..
Sabby pia ni msanii wa Bongofleva miezi kadhaa alitoa wimbo wa "Inahusu" directed by Adam Juma, Aidha Sabby alikuwa finalist wa wawakilishi wa Tanzania kwenda Big Brother Africa 2014 ingawa sababu za yeye kutokwenda S.Africa hazikutajwa hivyo Idris Sultan na Irene La Veda kwenda BBA .
.
#5: Akiwa kwenye mawazo mazito alishanga akipigwa kofi kali sana na #mamdogo wake kwa kuambiwa kuwa ameacha vyombo nje amekaa tuu bila ya kazi, wakati akiinuka alisindikizwa na mkofi mwingine wa hatari toka kwa #mamdogo wake uliompeleka chini moja kwa moja alianza kulia #bintichaupele pale chini kitu kilichomwongeza harisa #mamdogo wake na kuendelea kumbabua pale chini alivyomaliza alimbalamsha mpaka njeee. Kufika njee tuu #bintichaupele aliamaki baada ya kuona lundo la vyombo vichafu na kutojua vimechafuliwa mda gani, akuwa na namna ilimbidi akae chini na kuanza kuosha akiwa anaendelea mara akashuudia #mamdogo wake akija tena na sahani za kutosha na kumwekea pale chini na kumwambia
#mamdogo: Nakuambiaje hapa ndo dar kama ulikuwa ujui ndo tambua sasa osha vyombo chapuchapu na vitakate tuviombo twenyewe tudogo hutoo, pili nilikupa chumba kizuri cha kulala tena unasononeka nini wenzako wanalala njee waking'atwa na mbuuu sembuse wewe ebu fanya kazi upesiii ukapike kule na wole wako hata kitunguu kiungue utanikoma.
Alipomaliza hayo huyo akatokomea zake ndani na kumwacha #bintichaupele akiwa anachapa kazi isiyo na mshahara huku paka wake akiwa pembeni akilamba lamba masalia huku pembeni kukiwa na #wifi yake na #shemeji yake #mamdogo wakiwa wanapiga story huku wakimwangalia #bintichaupele akichakarika pale chini awakuwa na hata chembe ya huruma, basi #bintichaupele alipomaliza kufanya kazi hizo akaingia jikoni kuanda chakula kwa ajili ya jioni alipomaliza akamwambia mamdogo wake basi alipewa mapoti na kwenda kupakua na kuweka mezani kisha naye -------------------------(mtazamo wako kabla hatujaendelea mdau).
LIKE/COMMENT/SHARE