Friday, 28 July 2017

Breaking news neymar found today in exercise he was fighting with his fellow new comer in fc Barcelona after that he decide to leave the ground,this because of the rumours that neymar want to go in PST

Staa wa soka wa kimataifa wa Brazilanayeichezea FC Barcelona ya HispaniaNeymar leo Ijumaa ya July 28 2017 ameingia kwenye headlines baada ya kugombana na mchezaji mwenzake Nelson Semedo wakiwa mazoezini.
Neymar katika video iliyonaswa mitandaoni imemuonesha akigombana na Nelson Semedoaliyejiunga na Barcelona kipindi hiki akitokea Benfica ya kwao Ureno, baada ya tukio hilo Neymar alisusia kufanya mazoezi na kuondoka zake.
Neymar na Semedo walipishana wakati wa mazoezi lakini Javier Mascherano aliingilia mvutano na Semedo aliendelea na mazoezi huku Neymar akiondoka, kwa sasa Neymaranahusishwa kuwa mbioni kuondoka FC Barcelona na kujiunga na PSG ya Ufaransa.

No comments: